018 - Mwokozi, Kama Mchunga "Saviour, like A Shepherd
018 - Mwokozi, Kama Mchunga
"Saviour, like A Shepherd
1
Mwokozi, kama mchunga Utuongoze leo;
Ututume malishoni; Fanya tayari boma.
Bwana Yesu, peke yako Umetuvuta kwako.
2
Tu wakouwe rafiki, Uwe mlinzi wetu;
Kundi lako ulilinde, Tusivutwe na dhambi;
Bwana Yesu, tusike, Tukiomba, samehe.
3
Umetuahidi kwamba Utakubali watu,
Utawahurumia na Utawapa neema;
Bwana Yesu, tunapenda kuwa wako, mapema.
Comments
Post a Comment