018 - Mwokozi, Kama Mchunga "Saviour, like A Shepherd

 018 - Mwokozi, Kama Mchunga

"Saviour, like A Shepherd



1

Mwokozi, kama mchunga Utuongoze leo;

Ututume malishoni; Fanya tayari boma.

Bwana Yesu, peke yako Umetuvuta kwako.


2

Tu wakouwe rafiki, Uwe mlinzi wetu;

Kundi lako ulilinde, Tusivutwe na dhambi;

Bwana Yesu, tusike, Tukiomba, samehe.


3

Umetuahidi kwamba Utakubali watu,

Utawahurumia na Utawapa neema;

Bwana Yesu, tunapenda kuwa wako, mapema.


Comments