016 - Ninakuhitaji "Blessed Lord, How Much I Need Thee"
016 - Ninakuhitaji
"Blessed Lord, How Much I Need Thee"
1
Bwana ninakuhitaji! Nimpofu, maskini;
Unishike mkononi, Kwako napata nguvu.
Chorus
Kila saa, kila saa Bwana ninakuhitaji;
Kila saa, kila saa, Unilinde kila saa.
2
Univike na mavazi Ya usikivu wako;
Nguo zangu ni machafu, Nazitamani zako.
3
Wewe ukiniongoza Nitakwenda salama;
Nenda nami siku zote, U nuru na uzima.
4
Na ikiwa m-beleni Sehemu yangu ngumu,
Au ikiwa furaha, Unilinde kila saa.
Comments
Post a Comment