015 - Nena Mungu "Speak To My Soul"
015 - Nena Mungu
"Speak To My Soul"
1
Nena rohoni Yesu, Nena kwa upole
Sema kwangu kwa pendo, "Huachwi upweke."
Fungua moyo wangu, Nisikie mara;
Jaza roho na sifa, Sifa zako Bwana.
Chorus
Kila siku unene, Vile kwa upole,
Nong`oneza kwa pole wa pendo:
"Daima utashinda, Uhuru ni wako."
Nisikie maneno; "Huachwi upweke."
2
Nena kwa wana wako, waonyeshe njia,
Wajaze kwa furaha, Fundisha kuomba;
Wajifunze kutoa Maisha kamili,
Wahimize ufalme, Tumwone mwokozi.
3
Nena kama zamani, Ulipoitoa
Sheria takatifu: Niiweke pia;
Nipate kutukuza Wewe Mungu wangu,
Mapenzi yoko tena, Daima kusifu.
Comments
Post a Comment