021 - Baba Twakujia "Father, We Come To Thee"

 021 - Baba Twakujia

"Father, We Come To Thee"



1

Baba twakujia, Uwe msaada;

Uwe kimbilio, twakusihi.

Dunia ni giza tukitengwa nawe;

Fufariji hapa, Baba yetu.


Chorus

Baba twakujia, tu dhaifu,

usitugeue, tusikie.


2

Salama tulinde, kati ya taabu;

Uwe raha yetu mashakani.

Roho ya sumbuka, Baba tujalie;

Twakuomba sana, tupe nguvu.


3

Neema utupe, tukubali kwako;

Moyo wetu Linda, safarini;

Tuongoe mbele, tupate kushinda

Na kufika ng`ambo, kule kwako.


Comments