019 - Msalabani Pa Mwokozi "Down At The Cross"

 019 - Msalabani Pa Mwokozi

   "Down At The Cross"


1

Msalabani pa Mwokozi Hapo niliomba upozi,

Moyo wangu ulitakaswa, Na asifiwe.


Chorus

Na asifiwe, Na asifiwe,

Alinikomboa kwa damu, Na asifiwe.


2

Chini ya mti msumbufu Niliomba utakatifu,

Alinikomboa kwa damu, Na asifiwe.


3

Kwa ajabu nina okoka, Yesu anakaa moyoni;

Mtini alinifia, Na asifiwe.


4

Damu ya Yesu ya dhamani Huniokoa makosani;

Huniendesha wokovuni, Na asifiwe. 

Comments