019 - Msalabani Pa Mwokozi "Down At The Cross"
019 - Msalabani Pa Mwokozi
"Down At The Cross"
1
Msalabani pa Mwokozi Hapo niliomba upozi,
Moyo wangu ulitakaswa, Na asifiwe.
Chorus
Na asifiwe, Na asifiwe,
Alinikomboa kwa damu, Na asifiwe.
2
Chini ya mti msumbufu Niliomba utakatifu,
Alinikomboa kwa damu, Na asifiwe.
3
Kwa ajabu nina okoka, Yesu anakaa moyoni;
Mtini alinifia, Na asifiwe.
4
Damu ya Yesu ya dhamani Huniokoa makosani;
Huniendesha wokovuni, Na asifiwe.
Comments
Post a Comment